Burudani

Ommy Dimpoz aamua kuchukua maamuzi haya ugomvi wake na Diamond

Baada ya kuliamsha dude Jumatano hii na kuanza kuzungumzwa kila kona, Ommy Dimpoz ameamua kusikiliza ushauri kutoka kwa watu mbalimbali.

Msanii huyo ameamua kufuta picha aliyoiweka kwenye mtandao wa Instagram akiwa na Mama yake Diamond, Bi Sandrah na kuandika ujumbe mzito ambao watu wengi wamechukulia ni kama matusi kwa mama huyo na sio adui yake husika ambaye anapambana naye.

Baadhi ya watu walioonekana kukerwa na maneno ya Dimpoz ni meneja wake wa zamani, Mubenga, Nay wa Mitego na wengine.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents