Burudani

Picha: AY na Rich Mavoko watua Uganda kumsupport Jose Chameleone kwenye show yake ya 1 Man, 1 Show, 1 Million

Hatimaye siku ya ile show ya mkali wa Afrika Mashariki Jose Chameleone ambayo ilianza kufanyiwa maandalizi na matangazo kwa miezi mingi iliyopita imewadia.

1 million chameleone

AY na Rich Mavoko ni miongoni mwa wasanii kutoka Tanzania ambao tayari wamewasili jijini Kampala, Uganda kwenda kumsupport Chameleone kwenye show hiyo itakayofanyika Dec 18.

AY - Uganda

Chameleone alipost picha ya wabongo ambao tayari wametua Uganda tayari kwa show hiyo akiwemo AY na kuandika:

Ay - ug

Siku tatu zilizopita Chameleone aliandika kuhusu ujio wa Rich Mavoko kwenye show yake:

“Charge up for the ONE MILLION NIGHT EXPERIENCE 18th December @ The Victoria Hall Serena, Kampala. @richmavoko Sign in!!!”

Mavoko

Rich Mavoko naye alipost picha akiwa kwenye ndege jana (Dec. 17) na kuandika:

“@jchameleone am coming bro Tz twapenda mziki mzuri #uganda Naja..”

Related Articles

Leave a Reply

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents