Burudani
Picha: Linex afunga ndoa kimya kimya?
Msanii wa muziki, Linex Sunday Mjeda Jumatatu hii ameonesha picha katika mitandao ya kijamii zinazomuoenesha akiwa amefunga ndoa hali ambayo imewafanya mashabiki wake kumpongeza kwa hatua hiyo.
Linex katika mahaba
Kupitia ukurasa wake wa Instagram, muimbaji huyo amepost picha za ndoa hiyo na kuandika, “Kuna maamuzi hayahitaji matangazo.”
Katika picha nyingine aliandika: Silence speaks volumes.”
Hizi ni picha zaidi: