Picha

Picha: Sugu na mama wa mtoto wake wakifurahia utalii wa ndani Mlima Kitonga

Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi aka Sugu, ameshare picha zinazowaonesha akiwa na mwanae pamoja na mama wa mtoto wake huyo, Faiza Ally, waliamua kupark usafiri wao pembeni ya barabara na kufurahia mandhari ya kuvutia ya Mlima Kitonga, mkoani Iringa. Tazama picha zao.

946294_484823404924724_125451513_n

Sugu akifurahia mandhari ya Kitonga
Sugu akifurahia mandhari ya Kitonga
Yohoooooo!!!
Yohoooooo!!!
Faiza na mwanae
Faiza na mwanae

935165_484821214924943_1643712272_n

Sugu na familia yake
Sugu na familia yake

420602_484821008258297_1740602839_n

Faiza
Faiza

248110_484822511591480_213699350_n

216202_484824194924645_1176846821_n

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents