Burudani
Rapper Cassper Nyovest wa Afrika Kusini apata deal la kihistoria
Rapper wa Afrika Kusini, Refiloe Phoolo maarufu kama Cassper Nyovest amesaini deal la ubalozi kubwa zaidi katika historia ya muziki nchini humo.
Welcoming @CassperNyovest to the MTN family! He's officially our new brand ambassador! Fun times ahead! #MTNCassper pic.twitter.com/6eOe0wJhMC
— MTN South Africa (@MTNza) October 22, 2015
Rapper huyo amekuwa balozi wa mtandao wa MTN.
Taarifa hiyo imekuja siku chache kabla Cassper hajafanya show ya kihistoria itakayohudhuriwa na watu 20,000 na ambayo ameipa jina la Fill Up The Dome.
Producer na mtangazaji maarufu wa nchini humo Oskido amechangia kwa kiasi kikubwa kupewa deal hiyo kwa Cassper.