Michezo
Swansea ya mtimua Bob Bradley
Kocha wa klabu ya Swansea ambaye ni raia wa Wamarekani, Bob Bradley ametimuliwa kazi katika timu hiyo akiwa ameitumikia kwa muda wa siku 85 tu.
Baada ya kipigo cha 4-1 alichopokea kutoka kwa West Ham , kilikuwa ni cha 7 katika mechi 11 alizoiongoza Swansea tangu kuchukua kibarua hicho kutoka kwa Francesco Guidolin Oktoba,3,2016.
Swansea sasa inakamata nafasi ya 19 kwenye msimamo wa EPL ikiwa na pointi 12