Technology

Unaweza kuwa na akaunti mbili za whatsapp kwenye simu moja

Utumiaji wa simu za smartphone umeweza kusababisha kuanzishwa kwa app nyingi zaidi duniani, hivyyo kupeleka watumiaji kutamani kuongeza application hizo kila kukicha.

Application ya whatsapp ni moja ya app inayotumiwa zaidi kwa sasa, kwa kuzingatia hilo wameamua kuongeza whatsappna kuwa mbili kwenye simu yako. Hivyo basi unaweza kufuta maelekezo ilikuweka whatsapp hiyo katika simu.

Hatua ya kwanza

Download App inayoitwa parallel space kwenye play store

Hatua ya pili

Kama simu yako ni line moja basi weka line nyingine ambayo unataka iwe whatsapp yako ya pili

Hatua ya tatu.

Install application uliyo download kwenye Step 1(parallel space ), kisha ifungue.

Hatua ya nne

Utakapofika kwenye kipengele kinachotaka kuweka number ya simu hapo utaweka namba yako ya pili ili uweze kuwa na whatsapp mbili

Hatua ya tano.

Utaendelea na Steps za kawaida utakazo onyeshwa kama ulivyojiunga na whatsapp ya kwanza.

Hitimisho:

Mpaka hapo utakuwa umefanikiwa kuweka na kuanza kutumia whatsapp mbili kwenye simu moja, nakutakia kila la kheri.

Chanzo : Mtandao

Na Laila Sued

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents