Burudani
Video: Bosi wa Vodacom awafunika wafanyakazi wake kucheza Singeli
Jumanne hii kampuni ya Vodacom imezindua huduma yake mpya ya pando jipya waliyoipa jina la Pindua Pindua. Katika uzinduzi huo kivutio kikubwa alikuwa ni Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni hiyo, Ian Ferrao ambaye alionyesha uwezo mkubwa wa kusakata rumba la Singeli na kuwafunika wafanyakazi wake. Tazama video hiyo hapa chini.