Burudani
Video: Harmorapa akanusha tetesi za kufunga ndoa na mwanamke wa Mwanza ‘chaguo langu ni Wema’
Rapa Harmorapa amefunguka kuzungumzia vitu vitatu vinavyoendelea kwenye mitandao ya kijamii kuhusu yeye, moja ni ishu ya kufunga ndoa, kuchora tattoo ya jina la Wema Sepetu shingoni kwake na tatu kauli kuhusu ishu ya Harmonize baada ya kuonyesha kukubali harakati zake.
Keishakwambia hakutaki wala kukuhitaji kwa nini UNAJIPENDEKEZA kizembezembe namna hiyo?!
Bongo vichaa wapo wengi
Hahaaa hahaaa dah
Hakakajamaaa kweri wema ninavyo mjua hawezikukabubari labda kamroge
Pwahaha a u kidding me
Duuuuu!haya sasa
Hahahahahs
Ebu ona ivo vindevu vya hamorapa utafkir mchicha bangi
Hhhhh Duh!!!apa karogwa akili uyu jamaaa ati wema amkubali huyu,dunia isimame nishuke๐๐๐๐๐
Hhahahhaha
Ati๐ฒ
Unajua Kuna watu kituko, kijeba Na kichekesho sasa huyu jamaa Ni SHIDA
Kali ya mwaka iyo
Swali na jibu nivitu tofauti
Kwani wema ni dadako?
Mamaeeee๐๐๐๐๐
Fuck off what are you talking about
SASA Nyie msiwi mnacheka na Ku comment mambo yasiokuwa na mshangao ,,kwani uyu dogo awezi kumdumu wema ,kwani wema ninani? Jibu ni mwanamke kama wengine na chajabu sana anapokua na towa isia zake za ukweli kabisa nyie mnajifanya kumcheka,,sio safi iyo,,wema kama ni mjanja ajibu penzi LA harmorapa kwa araka ,aho wakina sultani na madiamond wako awatakupa kitu,,usishangai mnaowana na uyo dogo na mnazaa mtoto na serikali ina wapo deal nono
Kicks hazijawahigi kumwacha mtanzania Salamaaa!
Hahahaha huyu Mwana hamorapa anapataga taabu sana
Haituhusu hiyooooo
Miii handsome jamn
Duuh kwa hy wema analijua hilo au
Ndomaana kuna limao na ndimu brother hebu angalia tu hapo Kwenye picha lazima ucheke harafu fikiria mashauzi yawema utapata jibu hapo nihasi nachanya
Mamaee๐๐๐๐
Nyamoko Suleimani Atari ndugu
Shikamoo Babu Harmorapa
Huyu nae ndo maana wakamuita nyani
Mwandishi hukuona picha yake nyingne zaid ya Hii huko maktaba yenu?
Mpaka Tattoo ya wema kwa shingo?
Hamorapa anatakiwa akapimwe mukojo
Dogo una ndoto za alinacha
Duuu kazi ipo
Ivi Sura ngumu Kama ya huyo Dogo hata Kama Mm ningekuwa mwanamke anaweza akanisemesha
We mtoto utakuja kujiingiza kwenye matatizo mazito.
Ni bangi tu hizo