Michezo
Yanga yatoa kauli hujuma za Simba, kesi za Morrison na Kabwili (+Video)
Makamu Mwenyekiti wa klabu ya Yanga, Fredrick Mwakalebela amezungumzia sakata la kesi ya mchezaji Bernard Morrison aliyetimkia Simba SC, Ramadhan Kabwili na hujuma za upangajki matokeo kutoka kwa watani wa wa jadi.