Burudani

Young Dee: Niliwahi kujutia umaarufu wangu

Rapper Young Dee amesema amewahi kujutia kuwa mtu maarufu kutokana na kukosa pesa zinazolingana na jina lake.

11280269_1585554741708067_937645765_n

Akiongea na E-News ya EATV, Young Dee alisema,” Tokea nimekuwa Young Dar es Salaam, sijawahi kujuta lakini nilijuta nilivyokuwa Young Dee mwanzo wakati naanza. Si unajua ndo nilikuwa nimetoa ngoma yangu ya kwanza halafu bado sina kitu alafu inabidi upande daladala halafu unakutana na madenti wamekaa siti ya nyuma wanaanza ‘Young Dee’ wanazingua kweli yaani.”

“Ile ilikuwa inanitesa sana maana nilikuwa naona nashindwa kuwa huru na maisha yangu yaani kuwa mtu wa kawaida tu nikapanda daladala nikakaa poa tu. Lakini ilikuwa ngumu hiyo hali ilikuwa inanitesa sana kipindi cha nyuma.”

Related Articles

Check Also
Close
Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents