Tragedy
Kocha Mziray Hatunaye Tena
Habari za kusikitisha zimetufikia kwamba Kocha wa viungo wa Simba, Syllersaid Mziray, amefariki dunia baada ya kulazwa hospitali jijini Dar es Salaam akitatizwa na ugonjwa wa Malaria.
B5 inaiombea ndugu jamaa na marafiki wa marehemu pamoja na uongozi mzima wa timu ya Simba na wachezaji wake kwa wakati huu mgumu.
Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi.