Michezo
Simba SC vs Azam FC Robo fainali FA Cup, Ally Mayay auchambua mchezo huo (+Video)
Mchambuzi wa soka Tanzania na aliyekuwa mchezaji wa zamani wa Young Africans Sports Club, Ally Mayay azungumzia mchezo wa Robo Fainali Kombe la Shirikisho la Azam Sports (ASFC) baina ya Simba SC dhidi ya Azam FC