Michezo
Yanga yachukua Tusker
Yanga ni mabingwa wa kombe la Tusker kupitia Boniface ambani na Mrisho Ngassa. Yanga, ambao kwa cha kwanza cha mchezo walikuwa nyuma kwa goli moja dhidi ya Sofapaka, walisawazisha goli hilo kupitia kwa Ambani katika bakika ya 84 na baadaye Ngassa akamaliza ubishi dakika ya 89
Pamoja na kombe, yanga wamepata medali za dhahabu na shilingi milioni 40 huku Jerryson Tegete akiibuka mfungaji bora na kujinyakulia shilingi milioni 2