Burudani

Picha: Mr Nice apata mapokezi ya heshima Lodwar, Kenya

Anaweza kuwa anachukuliwa poa Tanzania, lakini umaarufu wa Mr Nice nchini Kenya bado ni mkubwa na usioweza kuufananisha na mastaa kibao wanaofanya vizuri Bongo kwa sasa (nabii hakubaliki kwao).

43eb8a66-e4c1-454d-bf6a-3eea1901bca5

Hitmaker huyo wa ‘Fagilia’ amepata mapokezi ya heshima mjini Lodwar, Kenya yanayotaka kushabihiana kidogo na yale aliyoyapata Diamond Platnumz aliyeenda huko miezi kadhaa iliyopita.

2a1a34bd-6ba2-4334-8fe3-797b124f4198

Muasisi huyo wa style ya Takeu, atatumbuiza Jumamosi hii kwenye kiota cha MARBLE CLUB & VIP LOUNGE.

Tazama picha za mapokezi yake.

d296ff11-9151-45bf-a9ab-0302a90b4003

2b33596a-a15f-4fcb-a1fb-c2afa3749fb1

3c744176-7335-4f92-b163-f6613ca0beb1

9d66dd7b-8d66-41cf-9e0f-80117f25b925

164d8933-7deb-4735-9186-4b8bb25579b3

399f2712-5c04-420e-bcb8-9ae739876ad3

2133d8b0-2785-4655-a08c-365fcd26fe61

ce28d176-0fd0-4c74-afc4-4896245f6dbf

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents