Ufaransa kuzuia Baibui

Image
Wiki iliyopita, watunga sheria huko Ufaransa waliwasilisha muswada wa kuzuia mavazi yanayoziba mwili mzima (Baibui) nchini humo. Iwapo muswada huo utapitishwa, waislamu zaidi ya milioni 5 wanaokadiriwa kuishi nchini humo watakuwa katika wakati mgumu kwani mwanamke wa kiislamu anapaswa kuziba mwili wake

Related Articles

Check Also
Close
Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents