Burudani
Babu Tale na Wabunge wengine wa Morogoro wasindikizwa kuchukua fomu
Mgombea Ubunge wa Jimbo la Kusini Mashariki, Morogoro Hamis Shaban maarufu kama @babutale akiwa na mgombea mwenzie wa Jimbo la Kusini Morogoro Innocent Edward Karoglesi wakiwa wamesindikizwa na Wananchi pamoja na na wanachama wa CCM kwenda kuchukua fomu na kudhaminiwa.