Burudani

Daxo Chali afunguka ujio wa Marlaw, ‘Ni kama Alikiba’

Producer kutoka studio za MJ Records, Daxo Chali amefunguka mambo kadhaa kuhusu ujio wa msanii Marlaw.


Daxo amesema kuwa ukimya wa Marlaw ulikuwa ni kutoa nafasi kwa yeye kusoma game kwa sababu huwezi kusoma game ukiwa ndani yake, hivyo wakati huo alikuwa anarekodi ngoma zake pole pole.

“Marlaw sasa hivi kawa mnyama zaidi, unakaa naye unatengeneza beat mpaka anakuwa kama anataka kushika hivi, yeah, anakuonyesha kuna vitu, so sikio lake kama limekua unajua ukiwa nje unakuwa unaona vitu vingi sana ni kama Alikiba alipoachia gape kuna kipindi, so ni kitu kama hicho hapo” Daxo ameiambia Funiko Base ya Radio5.

Daxo ameongeza kuwa katika ngoma tisa walizofanya hadi sasa hamna kolabo hata moja.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents