Burudani
Jux na Vanessa Mdee waungana tena kwa mara nyingine, Awamu hii wamekuja na ‘Sumaku’ (+Audio)
Kwa mara nyingine tena Jux na Vanessa Mdee wamefanya kolabo nyingine, Na awamu hii wamekuja na SUMAKU wimbo ambao umetengenezwa na S2kizzy.
Hii inakuwa ni kolabo ya pili kwa wawili hao kushirikishana.