Kimwana na duka la Manywele
KATIKA pita pita yangu leo nika tokea njia moja ya Kinondoni Studio, na kukutana na fremu ya dula ka Nywele na vipodozi la mshindi wa kwanza wa Kimwana Manywele wa Twanga Pepeta mwaka 2011 kwa 2012 Marry Khamisi. nikavutiwa sana kulikuta katika hali ambayo niwaweza kuhita ni ya maandalizi katika kuliweka sawa tangu kimwana huyo alipojitwalia taji hilo.
Nikakumbuka mwana dada huyo alipovikwa taji hilo, na kukabidhiwa funguo kabla ya kuchukuliwa na bendi ya twanga Pepeta kwaajili ya kuziba pengo la Asha Madinda.
Nikakumbuka tena siku ambayo alimwaga jasho lake kwaajili ya kupata zawadi hiyo, kabla ya kupandfa katika jukwaa la Bue Pearl pale Ubungo Plaza siku ya fainali. Kweli alikuwa shujaa ambapo lazima mmoja ashinde na apate zawadi ambayo aliwania kama ilivyo kwa wengine.
Mwisho nikaondoka na kuachana na habari za fremu za duka la kimwana manyewele…….