Habari
Lowassa adai aliitwa Ikulu na Rais Magufuli akimtaka kurudi CCM ila alikataa
Waziri Mkuu wa zamani na mjumbe wa kamati kuu ya Chama cha Demokrasiana na Maendeleo (CHADEMA), Mhe. Edward Lowassa amesema kuwa alikwenda Ikulu baada ya kuitwa na Rais John Pombe Magufuli akimtaka arudi CCM lakini alimjibu kuhama kwake hakubahatisha.