Tragedy
Picha: Marehemu Geez Mabovu azikwa Mlolo, Iringa
Mazishi ya rapper Geez Mabovu yamefanyika jioni ya Alhamis ya wiki hii kwenye makaburi yaliyopo eneo la Mlolo mjini Iringa. Geez ambaye jina lake ni Ahmed Allly Upete amezikwa kiislamu.
Joh Makini ni miongoni mwa wasanii waliohudhuria mazishi hayo
Wengine waliohudhuria ni pamoja na producer Lamar na members wengine wa Weusi. Geez alifariki usiku wa jana akiwa kwao mjini humo baada ya kuugua kwa siku kadhaa.
Hizi ni baadhi ya picha za mazishi yake.