Michezo
Picha: Msafara wa Mazishi ya Bondia Muhammad Ali
Bondia Maarufu Muhammad Ali maelfu ya watu walijipanga barabarani ili kumuaga wakati msafara ukipita kuelekea mji wa kwao Louisville, Kentucky ambapo ndo alipo zikwa June 10 2016.
Watu maarufu mbalimbali walikuwepo katika mazishi hayo ya Muhammad Ali akiwemo Rais wa zamani wa Marekani Bill Clinton,Promoter Don King,David Beckham,Arnold Schwarzenegger,Lennox Lewis, Will Smith, John Grady and Mike Tyson.
Read more: http://www.dailymail.co.uk/sport/boxing/article-3635968/Muhammad-Ali-draws-multitudes-laid-rest-Louisville-Greatest-makes-homecoming.html#ixzz4BEQC35di
Follow us: @MailOnline on Twitter | DailyMail on Facebook