Rappers, Snoop Dogg na The Game Ijumaa hii waliongoza mamia ya Wamarekani kwenye maandamano ya amani kupinga mauaji ya watu weusi yanayofanywa na polisi.
Maandamano hayo yamekuja baada ya kuuawa kwa watu weusi wawili kwenye matukio tofauti, Alton Sterling na Philando Castile, waliopigwa risasi na polisi.
Lakini pia July 7 polisi watano waliuwa huko Dallas wakati wa maandamano.
Akiongea kwenye maandamano hayo, Snoop alisema maandamano yao ni ya kuhimiza upendo baina ya wamarekani na kwamba chuki si jibu la matatizo yao.
https://www.youtube.com/watch?v=O8hmxD0fciQ
Wawili hao walienda kwenye makao makuu ya polisi ya Los Angeles, LAPD kulikukuwa na mahafali ya polisi wapya.
Hivi ndivyo Game alivyoandika:
History was made. Mountains were moved. Communication barriers were shattered & dialogue was opened & will continue to broaden in the days & weeks to come. I woke up with a mission…. & by day’s end that mission was accomplished & respect was given & displayed in a room full of men with integrity, wisdom, knowledge & power. This wasn’t for anyone individually but for all of us as a whole especially our women, children & immediate families. In my opinion this was the 1st BIG step taken by all of us towards a more unified Los Angeles for all of those who live in it & call it home as well as those who visit & appreciate the beauty of our city….. This was a positive moment that will go down in history & I am glad & very appreciative that I was a part of something so impactful…….. This one was for our children & their futures here in LA…. Congrats on a win for all parties involved today.. Let us continue on our mission, for God knows I left my home today with nothing but pure intentions & positivity on my heart & it shined through today & created an energy that could be shared by people all across the world……. Aye @SnoopDogg, WE DID THAT !!!!!!
Tazama picha zaidi: