Michezo
Wakala wa Bondia Selemani Bangaiza aliyefungiwa na Serikali baada ya kupigwa K.O ya kizembe Australia afunguka mazito
Baada ya Serikali kupitia Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo kutangaza kumfungia bondia Selemani Bangaiza, Hatimaye Wakala wa bondia huyo, Antony Luta amefunguka kuhusu mteja wake kupigwa K.O huko nchini Australia.