Michezo
Yanga yatenga Milioni 200 kuwafunga Simba Jumapili, wadai hawatishwi hata wakikaa kimya (+Vide0)
Mabingwa wa Kihistoria wa Ligi Kuu soka Tanzania Bara Young Africans imetangaza kuweka mezani kitita cha Shilingi Milioni 200 kwaajili tu ya kuwafunga watani wao wa jadi Simba siku ya Jumapili ya tarehe 8/03/ 2020