Burudani

Msanii wa Kenya amnunulia Zari Range Rover Sport 2017, ni yule aliyetangaza kumuoa

Ringtone Apoko ni msanii wa muziki wa Injili kutoka nchini Kenya ambaye kipindi cha nyuma alitangaza ni yake ya kumuoa Zari The Boss Lady, sasa muimbaji huyo amerejea tena kwenye headlines zake.

Muimbaji huyo ametangaza kuwa amemnunulia Zari gari aina ya Range Rover Sport ya mwaka 2017, hii ni baada ya kupata taarifa kuwa Zari siku si nyingi atakuwa nchini Kenya.

Soma Pia; Baada ya kuachana na Diamond, msanii wa Kenya ajitosa kwa Zari

Pia ameeleza kufurahishwa mara baada ya kumuona Zari akiwa kanisani na kumtaka kuendelea hivyo hivyo. Kupitia ukurasa wake wa Instagram ameandika;.

Dear Zari,
I know you are coming to Kenya anytime from now. I take this opportunity to welcome you to my beloved country.

I checked and I realised that you were in church ⛪ on Sunday am happy because it’s only in Jesus that you won’t be hurt like Diamond did. Pleaaaase stay in church and in God. You recently posted on your IG that you wanted a Range Rover OK I took note and I want to let the world know today that I have bought you a brand new Range Rover sport 2017 model.

Am sorry I know you wanted white but I only managed a black one in color. Please arrange how to pick your key🔑 b4 you leave. While you in Kenya if you need anything let me know I will make sure it’s done for you.

Wiki iliyopitia Zari aliweka wazi kununua gari aina ya Range Rover Spor na kuibuka stori kuwa huenda mrembo huyo kapata mwanaume ambaye ameamua kumuhudumia vilivyo hata hivyo alikanusha hilo.

Soma Pia; Msanii wa Kenya aeleza sababu ya kutaka kumuoa Zari

Zari kwa sasa anasema yupo single mara baada ya kuachana na mzazi mwenzie, Diamond Platnumz ambaye walijaliwa kupata watoto wawili, Tiffa na Nilan.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents