Uncategorized

Kinda wa miaka 19 anayewindwa na Man United ni moto wa kuotea mbali, atupia ‘hat trick’ Europa League

Joao Felix aliweza kuitangazia dunia ubora na uwezo aliyokuwanao katika kusukuma kabumbu, ni mara baada ya kufunga mabao matatu ‘hat trick’ usiku wa jana kwenye mchezo wa hatua ya robo fainali ya Europa League na kuiwezesha timu yake ya Benfica kuibuka na ushindi wa jumla ya magoli 4 – 2 dhidi ya Frankfurt kwenye uwanja wa Estadio da Luz.

Joao Felix netted a stunning hat trick as Benfica established a solid first leg lead in Lisbon

Kinda huyo mwenye umri wa miaka 19 ameripotiwa kuhitaji kwa udi na uvumba na klabu ya Manchester United.

He is reportedly a target for Manchester United and he announced himself to the world in style

Mshambuliaji huyo raia wa Ureno, Felix amefunga mabao yake dakika ya 21, 43 na 54 kabla ya Alves Dias kutupia la nne na kuufanya mchezo huo kumalizika kwa idadi hiyo ya mabao 4 – 2.

Felix was left in tears after completing his hat trick with a right footed shot on 54 minutes


Nyota huyo anakuwa mchezaji wa kwanza mwenye umri mdogo katika historia ya Europa League kutupia idadi hiyo ya mabao.

The youngster picked up the ball on the edge of the box before slamming the ball into the net
The strike was from more than 20 yards out and left goalkeeper Kevin Trapp with no chance

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents