Uncategorized
Bi Hindu afunguka kuhusu Simba ‘Kupigwa 5 sishangai, Waarabu watakiona, Yanga bakora moja chali’ (+Video)
Msanii mkongwe nchini na mwanachama wa klabu ya Simba, Bi Chuma Suleiman maarufu kama Bi Hindu, amesema kuwa hajashangazwa na matokeo ya timu yake kufungwa jumla ya mabao 5 – 0 dhidi ya AS Vita ya DR Congo kwenye michuano ya klabu bingwa barani Afrika kwakuwa alishawahi kupata kipigo kama hicho na akaweza kukirudisha kwa mtani wake Yanga SC.