BurudaniVideos

Mwili wa Maunda Zorro ukitolewa hospitali (Video)

Mwili wa msanii wa muziki Maunda Zorro ambaye alifariki kwa ajali ya gari Usiku wa kuamkia Jumatatu hii umetolewa hospitali ya Kigamboni kwaajili ya ibada ya mwisho ambayo itafanyika nyumbani kwa Baba yake na baadae kwenda kuzikwa nyumbani kwake, Ungindoni.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents