Habari
Rais Magufuli apokea ujumbe kutoka kwa Rais Museveni
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amepokea ujumbe kutoka kwa Rais wa Jamhuri ya Uganda,Kaguta Yoweri Museveni.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli akisalimia na Waziri wa Mambo ya Nje wa Uganda, Mh. Sam Kutesa
Soma taarifa kamili;