Siasa
Arusha: Kongamano la uhuru wa vyombo vya habari
Wadau wa masuala ya habari wakifuatilia mada mbalimbali zinazotolewa katika siku ya kwanza ya kongamano la vyombo vya habari duniani linalofanyika jijini Arusha.
Kongamano hilo ni sehemu ya shughuli mbalimbali zinazofanywa kuelekea maadhimisho ya mwaka huu ya Uhuru wa vyombo vya habari Duniani hapo Mei 3, 2022