Michezo

Beki wa zamani wa Liverpool Martin Skrtel alivyokula bata Serengeti (Picha)

Beki wa zamani wa klabu ya Liverpool ya nchini Uingereza na sasa klabu ya Fenerbahce ,Martin Skrtel wiki hii amepost picha akiwa mapumzikoni katika Hifadhi ya Taifa ya Serengeti, Serengeti Four Seasons Safari Lodge,Tanzania.

Skrtel hajaweka wazi kama bado yupo Tanzania au tayari ameshaondoka kwa kuwa mastaa wengi hutoa taarifa za uwepo wao muda mchache baada ya kuondoka.

Mchezaji huyo aliandika “When you spend the day, watching for Lions 🦁🇹🇷 Günü aslanlari izleyerek geciriyoruz 🦁#46 #tanzania🇹🇿 #summer2018 #martinskrtel #holidays #fenerbahçe,”

Aliongeza, “There is always something new out of Africa… 🇹🇷 Afrikadan herzaman yeni birsey cikiyor #tanzania🇹🇿 #ngorongoro #serengeti #safari #summer2018 #martinskrtel #fenerbahçe,”

Mastaa wengine ambayo tayari wameshatembelea Tanzania katika Mbuga zetu ni pamoja na David Beckham, Morgan Schneiderlin wa Everton pamoja na wengine we

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents