Habari
Catherine Masumbiga atwaa taji la Unique Model 2012
Mrembo Catherine Masumbiga jana usiku ameibuka mshindi kwenye shindano la Unique Model lililofanyika kwenye Klabu ya New Maisha jijini Dar es Salaam.
Nafasi ya pili ilikamatwa na Cesilia Michael huku Amina Ayubu akikamata nafasi ya tatu.