Michezo

Simba SC yashindwa kutamba mbele ya URA

Klabu ya soka ya Simba imeyaaga mashindano ya Kombe la Mapinduzi visiwani Zanzibar baada ya kukubali kipigo cha bao 1-0 kutoka kwa URA.

Simba ambayo ilikuwa ikishika nafasi ya tatu ya kundi A kwa kuwa na jumla ya pointi nne, ilihitaji ushindi ili kufuzu hatua ya nusu fainali  ya michuano hiyo.

Kwa ushindi huo wa 1-0 unaifanya timu ya URA kuungana na Azam FC kutoka katika kundi hilo na kutinga hatua ya nusu fainali.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents