|
Monday, 08 February 2010 |

Baada ya kuzindua kwa mafanikio mwonekano mpya wa Chupa ya Ndovu mwishoni mwa mwaka jana, Kampuni ya bia ya Tanzania Breweries imechukua hatua pana zaidi kuzindua mwonekano mpya wa chupa ya Redds Premium Apple Cider jioni ya Alhamisi tarehe 4 mwezi wa pili mwaka 2010..
|
|
Lionel Richie kutua Uganda |
|
Friday, 22 January 2010 |

Ushindani wa makampuni ya simu huko Uganda unaonekana kuwafaidisha wapenda muziki kwani akimaliza R.Kelly mwishoni mwa mwezi huu, anadondoka mzee mzima Lionel Richie. R. kelly analetwa na kampuni ya Zain wakati mpango mzima wa Richie unafanywa na MTN Uganda. Mapromota wa Bongo pigeni ndogondogo basi jamaa wafike mpaka huku
|
|
Ladies and gents.....Nuru the light |
|
Thursday, 21 January 2010 |
|

Nuru jana aliwakuna washabiki wake vilivyo kwenye klabu ya Florida Key West akishirikiana na bendi ya Odama na kuonyesha pia ana sauti ukiachana na urembo wake
|
|
Thursday, 21 January 2010 |

Warembo 10 kutoka wilaya zote tatu za Dar es salaam tayari wako kambini kwenye hoteli ya Rainbow social Club iliyopo Mbezi beach kujiandaa na fainali za kumsaka Miss Utalii Dar itayofanyika kwenye hoteli hiyo Februari 13.
|
|
Lilian atinga fainali FOA |
|
Thursday, 21 January 2010 |

Mwakilishi wa Tanzania kwenye shindano la kumsaka kisura wa Afrika, Lilian Mduda, amefanikiwa kuingia kumi bora na atachuana na vimwana wengine kutoka Afrika kwenye fainali hizo zitakazofanyika jijini Lagos Februari 6. Akiongea na waandishi wa habari leo kwenye hoteli ya Southern Sun, Lilian amesema amejiandaa vizuri na anaamini atafanya vyema na kuiletea nchi heshima na, ofkozi kurudi nyumbani na kitita cha Dola 50 000 na mkataba mnono na kampuni ya uanamitindo ya O Models
|
|
Wednesday, 20 January 2010 |
|

Leo ikiwa ni mwaka mmoja kamili tangu Rais Barack Obama achukue Ikulu ya Marekani, Mwandishi Mtanzania ambaye amekaa ughaibuni kwa zaidi ya miaka 30, Julie Majuva, amezindua kitabu chake 'Barack Obama: The African-American president' ambacho kinaelezea undani wa sera za Rais huyo na jinsi alivyofanikiwa kuleta mapinduzi kwenye siasa ya taifa hilo kubwa kabisa duniani kiasi cha kutunukiwa tuzo ya Nobel
|
|
<< Mwanzo < Prev 1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 Next > Mwisho >>
|