Mwigizaji na mwanamuziki maarufu kutoka nchini Marekani Will Smith yupo nchini Tanzania, leo ametoka mjini Bagamoyo ambako alitoa msaada wa vyandarua katika hospitali ya wilaya ya Bagamoyo.
Read more...
Uhamasishaji wa RAFDA Mwanza na Arusha uliofanyika wiki hii uliendelea vizuri. Mwanza imeonyesha mwamko zaidi kwani wabunifu walijitokeza kwa wingi zaidi wengi wao wakiwa wana ujuzi wa fani hii kwani tayari wana majina makubwa kwenye ulimwengu wa fashion mjini hapo
Read more...
Rais Levy Mwanawasa wa Zambia (59) amefariki dunia katika hospitali
moja mjini Paris, Ufaransa alikokuwa amelazwa baada ya kupatwa na
kiharusi Juni mwaka huu.
Read more...
Wabunge wazuiwa kumjadili Kikwete SHAUKU ya wabunge kuichambua hotuba ya Rais Jakaya Kikwete aliyoitoa bungeni wiki iliyopita imekwama, baada ya uamuzi wa kuijadili kuzuiwa kwa sasa
Richmond: Wote hawa `out` Kuna taarifa kuwa vigogo kadhaa ambao walihusishwa na sakata la mkataba `bomu` wa kufua umeme wa dharura wa Richmond, watatupwa nje ikiwa ni hatua ya kutekeleza mapendekezo yaliyotolewa na Kamati Teule ya Bunge iliyoundwa kuchunguza sakata hilo
Mkapa amfunika Rais Kikwete kiutendaji RIPOTI ya utafiti wa hali ya kisiasa nchini iliyotolewa na Mpango wa
Utafiti na Elimu ya Demokrasia Tanzania (Redet) imeonyesha kuwa
Benjamin Mkapa alifanikiwa zaidi kiuntendaji katika miaka kumi yake ya
uongozi kuliko miaka miwili ya Rais Jakaya Kikwete
Pinda: Changieni elimu si harusi WAZIRI
Mkuu, Mizengo Pinda, amekemea tabia ya baadhi ya Watanzania kuthamini
zaidi kuchangia sherehe badala ya elimu, kwani Tanzania bado ina
kiwango cha chini cha udahili wa wanafunzi katika vyuo vikuu
Serikali kudaiwa mamilioni Jamaa wa marehemu waliouawa
katika Hospitali ya Taifa Muhimbili baada ya kushambuliwa na mgonjwa
mwenzao, pamoja na wale ambao hadi sasa wapo mahututi, wanapanga kuidai
Serikali iwalipe fidia ya mamilioni ya shilingi