Tue 09 Feb 2010
Sasa habari zinapatikana kwa kiingereza na kiswahili, chagua lugha upendayo hapo juu
Redds na Mwonekano Mpya
Monday, 08 February 2010
Image
Baada ya kuzindua kwa mafanikio mwonekano mpya wa Chupa ya Ndovu mwishoni mwa mwaka jana, Kampuni ya bia ya Tanzania Breweries imechukua hatua pana zaidi kuzindua mwonekano mpya wa chupa ya Redds Premium Apple Cider jioni ya Alhamisi tarehe 4 mwezi wa pili mwaka 2010..
 
Lionel Richie kutua Uganda
Friday, 22 January 2010
Image
Ushindani wa makampuni ya simu huko Uganda unaonekana kuwafaidisha wapenda muziki kwani akimaliza R.Kelly mwishoni mwa mwezi huu, anadondoka mzee mzima Lionel Richie. R. kelly analetwa na kampuni ya Zain wakati mpango mzima wa Richie unafanywa na MTN Uganda. Mapromota wa Bongo pigeni ndogondogo basi jamaa wafike mpaka huku
 
Ladies and gents.....Nuru the light
Thursday, 21 January 2010

Image
Nuru jana aliwakuna washabiki wake vilivyo kwenye klabu ya Florida Key West akishirikiana na bendi ya Odama na kuonyesha pia ana sauti ukiachana na urembo wake 

Image

Image

 

 
Miss Utalii Dar mlangoni
Thursday, 21 January 2010
Image
Warembo 10 kutoka wilaya zote tatu za Dar es salaam tayari wako kambini kwenye hoteli ya Rainbow social Club iliyopo Mbezi beach kujiandaa na fainali za kumsaka Miss Utalii Dar itayofanyika kwenye hoteli hiyo Februari 13.
 
Lilian atinga fainali FOA
Thursday, 21 January 2010
Image
Mwakilishi wa Tanzania kwenye shindano la kumsaka kisura wa Afrika, Lilian Mduda, amefanikiwa kuingia kumi bora na atachuana na vimwana wengine kutoka Afrika kwenye fainali hizo zitakazofanyika jijini Lagos Februari 6. Akiongea na waandishi wa habari leo kwenye hoteli ya Southern Sun, Lilian amesema amejiandaa vizuri na anaamini atafanya vyema na kuiletea nchi heshima na, ofkozi kurudi nyumbani na kitita cha Dola 50 000 na mkataba mnono na kampuni ya uanamitindo ya O Models
 
Mtanzania amwanika Obama
Wednesday, 20 January 2010

Image
Leo ikiwa ni mwaka mmoja kamili tangu Rais Barack Obama achukue Ikulu ya Marekani, Mwandishi Mtanzania ambaye amekaa ughaibuni kwa zaidi ya miaka 30, Julie Majuva, amezindua kitabu chake  'Barack Obama: The African-American president' ambacho kinaelezea undani wa sera za Rais huyo na jinsi alivyofanikiwa kuleta mapinduzi kwenye siasa ya taifa hilo kubwa kabisa duniani kiasi cha kutunukiwa tuzo ya Nobel

 
<< Mwanzo < Prev 1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 Next > Mwisho >>

Who's been doing what

8 February, 2010
status update, 19:55
Mji kasoro bahari snow tym

profile update, 17:30
arnoldkibs updated their profile photo.

profile update, 15:29
jodany updated their profile photo.

new user registration, 14:02
arnoldkibs joined our community! Welcome!

new user registration, 12:31
tattuu joined our community! Welcome!

profile update, 11:11
kateme updated their profile photo.

new user registration, 08:44
al101al joined our community! Welcome!

new user registration, 08:23
ravnet joined our community! Welcome!

new user registration, 07:56
b5team joined our community! Welcome!

new friendship
LuckyLuca is now friends with pilly
Other recent friends of LuckyLuca

The Weather

Dar es Salaam, , TZ

Now
Partly Cloudy
27°C, Windchill: 27°C
Wind: 10 kph NE
Humidity: 87%
Visibility: 16 km
Preasure: 1,006 mb steady
Sunrise: 6:26 am
Sunset: 6:48 pm
Tue
Scattered Thunderstorms
Hi: 31°C, Low: 26°C
Wed
Sunny
Hi: 32°C, Low: 25°C

Sudoku

benmugashe shouts:
Happy Birthday My dear CCM... 
 
PKJ Unabishaaa?

Picha Mpya za WanaB5!

 
Advertisement

Latest Songs

Not a Flirt
K-Lynn ft Hermy B
Ulinikuta
Klex ft Stone
Chupa Nyingine
Mchizi Mox
Shikide
Dully Sykes
Nimetoka Mbali
Jaguar ft. AY

Latest Videos

We have 5 guests online

Bongo5 Chat Zone 2.0
Total of members in the chatroom:
total 25572 wanachama
female 6267 female
male 19197 male
month 19 mwezi huu
Mpya: arnoldkibs